Kampuni ya kuku, Tumaini Poultry Production imelenga kuongeza uzalishaji wake wa kuku wa nyama kwa kuomba mkopo wa benki shilingi milioni 5 utakaorejeshwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja ikiwa na dira ya kuwa mzalishaji bora zaidi wa kuku kandokando ya barabara ya Bagamoyo eneo lililojaa vivutio vingi vya utalii na hoteli za nyota 5 ...................................
Mchanganuo huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya ripoti zote muhimu za fedha unaupata kwa malipo kidogo hapa dukani
Unaweza kulipia kupitia mtandao wako wowote unaotumia na kisha kupakua mchanganuo wako sasa hivi bila kusubiri