Waanzilishi wa mradi wa Mayai Bora Project (MBP), Bwana Barikiel Sanga na Mkewe Bibi Marieth wana dhamira ya kuzalisha mayai bora na makubwa kwa ajili ya kuboresha afya za watu lakini wakati huohuo wakijiingizia faida itakayowasaidia katika maisha yao baada ya kustaafu utumishi wa Umma.
Malengo ya mradi huu ni kuzalisha trei zipatazo 27 kwa siku .................................................
Mchanganuo huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya ripoti muhimu za fedha unaupata kwa malipo ya shilingi elfu 10 tu hapa
Unaweza kulipia kupitia mtandao wako wowote unaotumia na kisha kupakua mchanganuo wako sasa hivi bila kusubiri.