MCHANGANUO WA BIASHARA YA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI WA MAYAI (Mayai Asili)
Downloadable

MCHANGANUO WA BIASHARA YA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI WA MAYAI (Mayai Asili)

1
TSh10,000.00

MUHTASARI


Mradi wa ufugaji wa kuku wa mayai ya kienyeji wa Mayai Asili, dhamira yake ni kuzalisha na kuuza mayai ya kienyeji ili kuboresha kipato cha familia pamoja na kutoa protini safi isiyokuwa na kemikali kwa wakaazi wa jiji la Dar es salaam.


Malengo yetu ni pamoja na kuanza kufuga kuku matetea wapatao 20 kwa kutumia mbinu na teknolojia mpya tulizobuni wenyewe..................................................................................


Mchanganuo huu kamili wenye vipengele vyote kuanzia Muhtasari mpaka makisio ya ripoti zote muhimu za fedha unaupata kwa shilingi elfu 10 tu hapa dukani


Unaweza kulipia kupitia mtandao wako wowote unaotumia na kisha kupakua mchanganuo wako sasa hivi bila kusubiri


Bofya neno BUY NOW kufanya malipo

Frequently bought together

© 2026 Peter Augustino Tarimo. All Rights Reserved.

Powered By