
Malengo 2025 ni huduma inayotolewa na Echu Consulting maalum kwa ajili ya kuandaa, kuboresha na kutengeneza malengo sadifu ya mwaka unaoisha na kuelekea mwaka unaofuata.
Huduma hii inahusisha
WALENGWA
Walengwa wa huduma hii ni watu wote wanaopenda kuishi kwenye kusudi pamoja na kuyavuta mafanikio upande wao, ikiwa ni mmoja wao basi huduma hii inakuhusu lakini pamoja na hiyo, huduma hii inatolewa kwa biashara zote ambazo zinahitaji kufanya tathmini na kuboresha mipango na mauzo yake.
GHARAMA
Gharama ya huduma hii ni Tshs 150,000/= kwa mtu na Tshs 200,000/= kwa biashara.
Karibu sana.