KITABU: Jifunze kuhusu maombi
Read Online

KITABU: Jifunze kuhusu maombi

1
TSh16,000.00TSh25,000

Jifunze kuhusu maombi ni kitabu ambacho kinamjengea mkristo uelewa mpana kuhusu maombi, kwanza kwa kutoa maana na baadae kueleza mahitaji pamoja na maarifa kuhusu maombi, kwa mkristo maombi ndio njia mama ya kuwasiliana na Mungu hivyo asipofahamu kwa undani maana yake ni ngumu kupokea kile ambacho anakiomba.


Ndani ya kitabu hiki kuna sura 11 zenye jumla ya kurasa 133 ambazo zime eleza kwa kina elimu ama maarifa kuhusu maombi, baadhi ya mada ni pamoja na

  1. Maana ya maombi
  2. Historia ya maombi
  3. Aina za maombi
  4. kanuni za kuomba
  5. Mbinu za shetani kwenye maombi yako
  6. Mpangilio wa jinsi ya kuomba
  7. Sifa za mwombaji


na kadha wa kadha, nikutakie usomaji mwema na Bwana Akubariki

Frequently bought together

© 2026 Elisha Chuma. All Rights Reserved.

Powered By