
MISINGI YA UKRISTO NA MKRISTO ni kitabu cha maarifa ambacho kinalenga kumsaidia mkristo kujitambua, lakini kupata ufahamu wa misingi ya imani yake ( Mkristo) na kisha misingi ya jinsi ya kuishi kwa kufuata imani yake ( Ukristo).
Kitabu hiki kinayo majibu ya maswali yako mengi kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu, lakini na mwongozo wa namna bora ya kuishi kwa kufuata imani yako.
Baadhi ya masomo yaliyomo ni pamoja na
Yote haya na mengine mengi utayapata ndani ya kitabu hiki, Mungu akubariki kupitia maarifa haya.