Kitabu : Saikolojia ya mahusiano
Read Online

Kitabu : Saikolojia ya mahusiano

1
TSh15,000.00

Mahusiano ni uti wa mgongo wa maisha yetu hapa duniani, kuishi na kufa kwako ni katikati ya kipindi cha kuhusiana kwako

Mahusiano yana matawi mengi sana katika uelewa wake, lakini katika kitabu hiki nimeongelea zaidi mahusiano yenye upendo ndani yake

Yapo mambo mengi ya kujifunza kuhusu mahusiano.


  1. Lugha ya hisia
  2. Hatua za mahusiano hadi ndoa
  3. Tofauti ya kupenda kati ya mwanamke na mwanamme
  4. Asili katika mahusiano


na nyingine nyingi, ikiwa unahitaji kuboresha ama kuanzisha mahusiano basi unahitaji kukisoma kitabu hiki.

Frequently bought together

© 2026 Elisha Chuma. All Rights Reserved.

Powered By